Friday, April 29, 2016

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators)


Incubators ni Mashine zinazo tumika kutotoreshea viuombe mbali mabali hasa Ndege.

AINA ZA INCUBATORS
  • Forced Air Incubator
  • Still Air Incubators


FORCED AIR INCUBATOR
Forced Air Incubators ni mashine yenye Feni kwa ajili ya kutawanya joto ndani ya incubators

STILL AIR INCUBATORS
Hii ni mashine siyo kuwa na fane 

IPI NZURI?
Inashauriwa kutumia/kununua Forced Air Incubators ndo bora kabisa na haiatakusmbua na hatahivyo kwa incubator kubwa karibia zote ni Fored air, na mara nyingi ndogo ndo still air

AINZA INCUBATOR KWENYE OPERATION
Manual
Automatic

MANUAL INCUBATORS
Hizi hutumia mikono katika kugeuuza mayai na katika maswala mengine kama kucontro joto na kazalika

AUTOMATIC INCUBATORS
Hizi hujiendesha kama Computer, kila kitu hufanywa automatically so kazi za manual hupunguza sana, Ukiwa na Incubnator Automatic na ikawa na sehemu ambayo inajiongeza maji automatically basi inaweza hata kata wiki bila kuchungulia mashine yako na ikawa inapiga kazi bila tatizo.


NI IPI NZURI?
Kwa kweli kwa maisha ya sasa inahitajika Automati Incubators ambayo haitahitaji wewe kuwepo mara kwa mara katika ku contro mashine, Ingawa kuna wakati Manual inahitajika kuliko Automatic na kuna wakati Automatic inahitajika kuliko manual
NB: Automatic nyingi zina manual, yaani kuna sehemu ya kushft kwenda manual, ila manual karibia zote hazina sehemu ya kushift kwenda automatic

ILA ZOTE ZINAFANYA KAZI KWA UFANISI SAWA, TOFAUTI MOJA NI AUTOMATIC NA NYINGINE NI MANUAL.

MAMBO MUHIMU SANA KWENYE INCUBATORS
  • Aina ya incubators
  • Model of operation
  • Manufacture
  • Nguvu inazo tumia
  • Altenative source of power

 MANUFACTURE
Incubator nyingi za nje ni nzuri sana, Kuna za Italy, Denmark, Uk, China, USA, India, South Africa Trukey na kazalika na bei zinatofautiana. Na utaona kwamba Incubator kama za Uk, South, USA, Italy ni very expensive compare na za kutoka China au India. Ila bei kutofautiana sana sio ishu na kama mnavyo jua China wao wna Policy yao kuhusu Internatinal Trade that is why.

Mashine nza Ndani ya Nchi nazo zipo nzuri na zipo zingine ni vimeo ila watengenezaji wanatakiwa kuwekeza zaidi kwenye Utafiti na si kujikita kwenye mauzo, inatakiwa kuboreshwa zaidi na zaidi ili ziwe na viwango vizuri

SOURCE OF ENERGY
Incubators karibia zote zinatumia Umeme kama source namba one na jua, makaa yam awe au gas kama source namba mbili, ingawa zipo za mafuta ya taa pia kama source No 1

ALTENATIVE SOURCE OF ENERGY
Kila aina ya mtengenezaji ana source yake ya altenative energy, zipo za Gas, zipo za umeme jua na zipo za mvuke wa maji na zipo za mafuta ya taa, na zipo za makaa yam awe.

ALTENATIVE SOURCE NZURI
  • Kwangu mimi Incubators ambazo altenative source of energy ni Mvuke wa maji nimetokea kuzipenda sana
  • Hapa umeme ukikatika unaunga pipe kwenye Mashine na unakuwa na birika special na unaiweka jikoni maji yanachemka na mvuke unapita hadi kwenye incubators, ni source nzuri sana, 
  •  Hata jua nayo ni source poa

ILA BADO SOURCE YA JUA AU GAS INAKUWA NI ALTENATIVE NZURI SANA.


MATATIZO YA INCUBATORS
Incubators nyingi zina shida moja kubwa sana, Incubators inaweza ikaharibika na wewe usiwe na habari kabisa na mpaka uje kushutuka ilisha haribu mayai yote na hilo ni tatizo kubwa sana

MFANO:
  • Heating tube zinaweza kufa na wewe usijue kabisa, na ukija shitikia ilisha haribu kila kitu
  • Humidity Tube inaweza kufa na wewe usijue na ukija shitukia ni balaa
  • Eggs turning inaweza kufa na usitambue hata siku mbili 
  • Humidity sensor na temperature sonsor zinaweza kufa na wewe usijue chochote
  • Na mara nyingi kinaweza kufeli kifaa kimoja za vingine viakendelea na kazi bila shida ila ikawa ndo kama hivyo, Mfano Mashine inaweza kuwa imekufa Humidity tube, na hapo inaweza endelea kufanya kazi na some time ni vigumu sana kugundua.
  •  Na tofauti na mitambo kama gari, Incunator inapo haribika huku ukiwa umeweka mayai ni balaa tupu, kama huna mashine nyingine ndo inakuwa imeharibu mayai yote.


KUKATIKA KWA UMEME
Endapo umeme utakatika na ukatumia Gas, au mafuta ya taa au makaa yam awe kama source nyingine ni lazima ugeuze mayai kwa mkono, na hapa tatizo liko kwamba ile mashine haiwezi kukubali kugeka ni lazima ubonyeze sehemu ya kubadilisha kutoka automatic kwenda manual. HAPA NDO HUWA KUNA KAZI PEVU 

Na Mwisho ni kuhusu uendeshaji wa Incubators, Mara nyingi uendeshaji nao ni tatizo kubwa nasa hasa kwenye seting joto na humidity, make seting lazima zitofautiane kulingana na maeneo au vipindi Fulani, Joto na wakati wa Baridi kari

Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Dominick Haule
Mtoa Mafunzo ya ujasiriamali kwa wanachama na watu mbalimbali.
Mawasiliano: +255 767 111173

2 comments:

  1. Kutana na Dr bingwa wa dawa za kisuna ..anatibu ugumba..nguvu za kiume..kurefusha dhakar na kunenepesha..hips na makalio shape ..bawasiri...kuondoa harufu mbaya ukeni na kubana uke ...mapenz ..zindiko...uti sugu..matatizo ya hedhi kwa kina Dada
    .wasiliana na Dr kupitia 0744903557

    ReplyDelete
  2. Kwa mahitaji ya incubator na mafunzo jinsi ya kutengeneza mashine ya kutotolesha .....nipigie 0743158800

    ReplyDelete